Ezra 3:11
11 aWaliimba nyimbo za sifa na za shukrani kwa Bwana hivi: “Yeye ni mwema;
upendo wake kwa Israeli
wadumu milele.”
Watu wote wakapaza sauti kubwa za sifa kwa Bwana, kwa sababu msingi wa nyumba ya Bwana ulikuwa umewekwa.
Copyright information for
SwhKC